KIKOSI KILIMANJARO STARZ
Katika ajali hiyo wachezaji wawili walijeruhiwa na kukimbizwa haspitali kwa matibabu.
Timu hizo zitakutana zikiwa na kumbukumbu za kufungwa katuika mechi zao za mwanzo ambapo Starz ilifungwa 1-0 na Zambia huku Somalia ikitandikwa 2-0 na Burundi.
Poleni sana, ajali haina kinga
ReplyDelete