Home MBWANA MATUMLA APOTEZA UBINGWA WA WBC UKRAINE byANID UPDATES -August 30, 2010 2 BONDIA Mbwana amepoteza kwa point ubingwa wa WBC international alipopambambana jana nchini Ukraine na kupata pointi 120-118,119-109 na 116-114 . Ahsante Juma Ndambile -Manager Facebook Twitter
Ndio ile enzi ya MATUMLA inakwisha nini?
ReplyDeleteMbona huyo Mzungu anaoneka uso umechafuka wakati Mbwana yupo powa tu au ndiyo mambo ya uzalendo?
ReplyDelete