MBWANA MATUMLA APOTEZA UBINGWA WA WBC UKRAINE

BONDIA Mbwana amepoteza kwa point ubingwa wa WBC international alipopambambana jana  nchini Ukraine na kupata pointi 120-118,119-109 na 116-114 .
Ahsante Juma Ndambile -Manager

2 Comments

  1. Ndio ile enzi ya MATUMLA inakwisha nini?

    ReplyDelete
  2. Mbona huyo Mzungu anaoneka uso umechafuka wakati Mbwana yupo powa tu au ndiyo mambo ya uzalendo?

    ReplyDelete
Previous Post Next Post