KLABU ya yanga imewataka wale wataokwenda kwenye sherehe za sikukuu ya Pasaka visiwani Zanzibar kufika makao makuu ya klabu hiyo ili kujiandikisha majina yao sambamba na kupata taratibu nyingine kuhusiana na ziara hiyo.
YANGA YAITA WANAOTAKA KWENDA KUSHIRIKI TAMASHA LA PASAKA ZANZIBAR
byDina Zubeiry
-
0