AMINI KUSHOTO NA BARNABA
WASANII wa bongo fleva Amini na Barnaba toka kundi la THT wanataifanyia utambulisho albamu yao ya pamoja Mei 27 katika klabu ya kimataifa ya Bilicanas kupitia shindano la kumsaka RBP Miss Dar Intercollege.
Nyimbo zilizizopo ni pamoja na NJIA PANDA, WRONG NUMBER, MBALAMWEZI, KODIMANGA, MAMA VANESSA, NIMELIMISS, ROBO SAA, WEKEEND, SOO SOO, SIMU YA KAMERA, MBONA UMEKWENDA NA NIVUMILIE.