Home KWA STAILI HII SI FULL KUFUTUKA? byANID UPDATES -September 06, 2010 0 WAREMBO waliopo katika hoteli ya Giraffe wakijiandaa na shindano la Vodacom Miss Tanzania mwaka 2010, hawana hofu ya kuongezeka uzito kwani ni full kujichana na misosi ya kila aina. Facebook Twitter