MAREHEMU ISSA KIJOTI ENZI ZA UHAI WAKE
NI MSIBA mzito katika tasnia ya sanaa nchini baada ya wasanii 13 wa kundi la muziki wa Taarab za 5 Star akiwemo muimbaji maarufu Issa Kijito kufariki kwa ajali ya gari usiku wa kuamkia leo huko Mikumi, Morogoro.
Pamoja na vifo hivyo wasanii wengine 9 akiwemo Mwanahawa Ally msanii mwalikwa (huru) walijeruhiwa na kulazwa wodi namba 3 katika hospitali ya mkoa wa Morogoro.
WALIOFARIKI NI:
Issa kijoti - mwimbaji
Husna mapande-mwimbaji
Nasoro madenge - mkurugenzi
Sheba Juma - mpiga solo
Omari hashimu- mpiga bass
Omari tall- fundi mitambo
Hamisa mussa - mwimbaji
Rama kinyoya - mwimbaji
Tizo mgunda - mcheza shoo
Haji mzaniwa - fundi mitambo
Husna mapande-mwimbaji
Nasoro madenge - mkurugenzi
Sheba Juma - mpiga solo
Omari hashimu- mpiga bass
Omari tall- fundi mitambo
Hamisa mussa - mwimbaji
Rama kinyoya - mwimbaji
Tizo mgunda - mcheza shoo
Haji mzaniwa - fundi mitambo
Ngeleza Hassan
Hamis Omary
Maimuna
WALIOJERUHIWA:
Mwanahawa Ally
Susan Benedict
Zena Mohammed
Samila Rajab
All Juma
Hamis
Rajab Kondo
Issa Hamis
Shab Hamis
Msafir Musa