MABINGWA wa Tanzania Simba wameapa kulipiza kisasi cha kufungwa mabao 3-1 na wapinzani wao katika ligi ya Mabingwa barani Afrika Tp Mazembe ya Congo, mechi iliyopigwa jumapili katika jiji la Lubumbashi na Simba kuambulia kichapo cha mabao 3-1.
Kocha wa Simba Patrick Phiri pamoja na wachezaji wamesema kupitia kipigo hicho watarekebisha makosa yaliyojitokeza ili kuweza kushinda mechi yao ya marudiano itakayopigwa wiki ijayo jijini dar es Salaam.
Kocha wa Simba Patrick Phiri pamoja na wachezaji wamesema kupitia kipigo hicho watarekebisha makosa yaliyojitokeza ili kuweza kushinda mechi yao ya marudiano itakayopigwa wiki ijayo jijini dar es Salaam.