
SARE ya bao 1-1 iliyoipata Simba jana dhidi ya Atletico Paranaense ya Brazil imeikosesha ofa ya kwenda Brazil kurudiana nao iliyotolewa na Rais wa RBP Oil&Industrial Technology Rahma Al Kharoos iwapo wangeshinda.
Atletico inayoshika nafasi ya tano ya ligi kuu nchini Brazil ilikuja nchini jkwa ziara ya kimichezo.
Post a Comment