Wakizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) wanachama hao toka tawi la Tandale Uzuri walisema kwamba Manji amekuwa akitumia baadhi ya wenzao katika kufanya mambo yenye manufaa kwake.
Walidai kuwa baadhi ya mambo amekuwa akiyafanya kwa njia za panya hivyo kama anataka kuendelea kuwepo Yanga ni lazima aweke wazi mambo anayoyafanya.
"Hali hii imetuchosha kwa kweli kama Manji anataka kuwa nasi nibora awe muwazi katika mambo anayoyafanya, si kutumia baadhi ya yao katika kujinufaisha", Alisema mmoja ya wanachama.
Post a Comment