Pia kutokana na blog mbalimbali zimepost hili shindano letu na tumeona kuna maswali ambayo hayana majibu kwenye comments zao. Na sisi kwa vile hatutaweza kupitia kila blog iliyopost maelezo na kuwaelewesha watu. Hapa nitaweka majibu ya maswali baadhi nimeona yameandika najua kuna mengi lakini hatujaweza kuyaona. Ila kama una swali usisite kututumia.
NB:Blog hii pia imependekezwa kushiriki shindano hili, nawashukuru wote endelea kuipigia kura.
Kwa taarifa zaidi tembelea http://www.tanzanianblogawards.com/.